Tuesday, September 18, 2018
Monday, September 11, 2017
》》Nikiwa shule ya msingi darasa la tano nilikwenda kufanya mtihani mimi na mdogo wangu yeye alikua darasa la tatu kwa wakati ule, shule ile ilikua ya kiingereza na mimi nilikua nafahamu kiingereza kwa kiasi kidogo sana, tuliingia kufanya mtihani bila ya kujiandaa .
Michael Angelo Togo
Barua pepe; michaeltogo99@gmail.com
(0766746918)whatsap.
Saturday, September 02, 2017
Wednesday, August 23, 2017
Harmony is the important thing and i can assure you that the lack of harmony is the first and often the last and only cause of failure.
It's your friend; Michael Angelo Togo.
Email address; michaeltogo99@gmail.com
Saturday, August 19, 2017
Habari za asubuhi mpendwa msomaji wa Angelotogo blog
Ni matumaini yangu wewe ni mzima wa afya ,karibu tujifunze kutoka kwenye makala yetu
Tatizo sio kwamba tunatumia asilimia 10 ya ubongo, tatizo ni kutokujua kuutumia ubongo.
Wanasayansi wanadai kua binadamu wengi hutumia asilimia kumi tu ya ubongo wao, watu wengi wanatamani japo ingewezekana wakatumia asilimia 100% ya ubongo wao,
Japo wengine hawajatambua bado namna ya kutumia asilimia hizo 10 % .
Ubongo ndio umebeba kitu kinachoitwa na wengi akili,
》》Akili ya binadamu ni kama betri ya simu anbayo kuna wakati inapungukiwa chaji, kama kawaida ya betri inapo ishiwa chaji lazima uichaji tena, Akili yako kuna wakati inapungua kama ilivyo kwa betri ambapo lazima uichaji.
》》Je nitaichaji vipi akili yangu endapo itapungua, ?
Kwa kawaida kama betri inatumika lazima itaishiwa chaji, akili yako huchajiwa na vitu inavyo vipokea, kwakua akili yako nikama kituo cha kupokea taarifa na kutoa taarifa (receiving and broadcasting centre ).
》》 Akili yako huchajiwa kwa kusoma, kusikiliza vitu muhimu kutoka katika sehemu mbalimbali ,mtu anaye soma gazeti, vitabu, makala, nukuu, anaichaji akili yake
Ndio maana kuna utofauti mkubwa kati ya mtu ambaye hasomi hata gazeti na mtu anaye soma gazeti hata la udaku tu,
》》Jitahidi kutumia asilimia 10% vizuri, kwakua binadamu hatuachi kusoma hadi tunapofariki na kuna elimu ambayo pia huwezi kuipata chuo cha harvard, jifunze kadri uwezavyo .
Ahsante ni rafiki yako
Michael Angelo Togo
Barua pepe; michaeltogo99@gmail.com.
0766746918 (whatsap).
Monday, August 14, 2017
Wednesday, August 09, 2017
Ni matumaini yangu umeamka salama.
>> Unavyo wajali watu na kuwasikiliza na kuwashauri vizuri ndio vitu vitakavyo wavutia wateja waje kwako .
>>Biashara ya rejareja ina changamoto kubwa moja, inahitaji( site ) eneo zuri lililo changamka ambapo watu wanapita kwa wingi.
Michael Angelo Togo.
michaeltogo99@gmail.com
+255766746918 (whatsap)
Ahsante
Friday, July 21, 2017
Kutokana na sababu ikiwemo kukosa elimu juu ya kuchagua nini cha kusoma watu wengine husoma kozi zenye mishahara midogo sana.
Wanasheria hutumia akili sana katika kufanya kazi zao, hivyo hupata fursa nyingi katika sekta binafsi na serikalini. Wanasheria hufundishwa kutoa ushauri wa kisheria kwa wateja wao /wahalifu, hii taaluma huchukua miaka mitano hadi saba inategemea na nchi, lakini mwanasheria anayekidhi vigezo hulipwa Kwa wastani dola za kimarekani 133,260 kwamwaka.
Kuwa rubani kunahitaji mahitaji maalumu kadhaa kama, shahada ya masuala ya anga, masaa mengi ya kujifunza kwa vitendo na huchukua miaka hadi saba katika masomo, Rubani mwenye vigezo vya kutosha hupokea takribani dola za kimarekani 140,260 kwa mwaka.
Taaluma hii ni ya watu walio bobea katika kazi ya upasuaji wa aina mbalimbali kama njia ya matibabu Kwa magonjwa ,mishahara yao huwa minene, kuna upasuaji wa aina mbalimbali kama wa mifupa, neva,
Daktari bigwa wa upasuaji hupata mshahara wa dola za kimarekani 240,440. kwa mwaka.
Madaktari hawa hutoa matibabu katika sehemu za mfumo wa uzazi, kama vile kujifungua, ujauzito, afya ya uzazi na njia ya mkojo.
Maranyingi Daktari huyu hutumika kama mshauri kwa Madaktari wengine, huweza kufanya pia kazi kliniki,hospitali au mwalimu wa chuo kikuu, hupokea mshahara wa dola za kimarekani 214,750.kwa mwaka
Wataalamu walio somea hii fani huitwa orthodontist.
Wataalamu hawa hupata elimu ya kugundua tatizo, kurekebisha,meno yeyote.
Matibabu hutegemea tatizo lakini matibabu ya jumla hujumuisha kuunga au kuziba meno yaliyotoboka ,kung'olewa na matatizo mengine, taaluma hii hutoa mshahara wa dola za kimarekani 221,000.kwa mwaka.
Tafadhali chagua vizuri nini cha kusoma
Ahsante sana