Karibu msomaji wa Angelotogo blog,
Ni matumaini yangu umeamka salama.
Ni matumaini yangu umeamka salama.
Nianze na swali, Je ungetambua kuwa kuna dhahabu ambayo ipo katika ardhi yako ,jambo zuri ipo kina kifupi kama mita 2 , ungechukua jukumu gani?
Ni dhahiri ungeanza kuandaa mikakati na ungeanza uchimbaji mapema ili ujiimalishe kiuchumi,
Dhahabu inayopatikana mahara ulipo ni kila fursa iliyopo katika mazingira yako, kumbuka kila binadamu anakabiliwa na changamoto mbalimbali, "mwandishi na mhamasishaji mmoja, Edius katamgora; aliwahi kuandika katika makala yake kua ""kuna mtu anahitaji umtatulie matatizo ili akulipe fedha nzuri "
>>watu hununua ubinadamu wako na sio bidhaa, je umewahi kujiuliza kwanini kuna watu wanao fanya biashara ya aina moja lakini mmoja kati yao anakua na mauzo mazuri mwingine anapata mauzo hafifu.
>> Unavyo wajali watu na kuwasikiliza na kuwashauri vizuri ndio vitu vitakavyo wavutia wateja waje kwako .
>> Unavyo wajali watu na kuwasikiliza na kuwashauri vizuri ndio vitu vitakavyo wavutia wateja waje kwako .
>>Biashara ya jumla ina changamoto kubwa moja ,huwa inahitaji mtaji mkubwa,
>>Biashara ya rejareja ina changamoto kubwa moja, inahitaji( site ) eneo zuri lililo changamka ambapo watu wanapita kwa wingi.
>>Biashara ya rejareja ina changamoto kubwa moja, inahitaji( site ) eneo zuri lililo changamka ambapo watu wanapita kwa wingi.
Biashara ya jumla inafanyika eneo lolote, lakini rejareja inahitaji site nzuri ,ndio utapata mafanikio katika biashara yako
Ni rafiki yako na mhamasishaji
Michael Angelo Togo.
michaeltogo99@gmail.com
+255766746918 (whatsap)
Ahsante
Michael Angelo Togo.
michaeltogo99@gmail.com
+255766746918 (whatsap)
Ahsante
0 maoni: