Tunatumia muda mwingi sana kusoma taaluma tunazozipenda katika vyuo mbalimbali nchini na nje ya nchi .
>>Hakuna mtu yeyote katika soko la ajira asiye tamani mshahara mnono, kiwango cha kazi huenda sambamba na ngazi ya elimu uliyonayo ,mtu hawezi kusoma kwa miaka mitano mwingine mitatu alafu wakalingana mshahara .
>>Kila mtu hulipwa kulingana na mahitaji ya taaluma hiyo kwenye ajira na kuhitaji watu wenye ujuzi katika fani hiyo na wanao jitoa katika kazi.
Kutokana na sababu ikiwemo kukosa elimu juu ya kuchagua nini cha kusoma watu wengine husoma kozi zenye mishahara midogo sana.
Kutokana na sababu ikiwemo kukosa elimu juu ya kuchagua nini cha kusoma watu wengine husoma kozi zenye mishahara midogo sana.
Kwa sana hizi ni baadhi ya taaluma zenye mishahara mikubwa duniani, japo kiwango chaweza kubadilika kulingana na nchi husika.
1; SHERIA .
Wanasheria hutumia akili sana katika kufanya kazi zao, hivyo hupata fursa nyingi katika sekta binafsi na serikalini. Wanasheria hufundishwa kutoa ushauri wa kisheria kwa wateja wao /wahalifu, hii taaluma huchukua miaka mitano hadi saba inategemea na nchi, lakini mwanasheria anayekidhi vigezo hulipwa Kwa wastani dola za kimarekani 133,260 kwamwaka.
Wanasheria hutumia akili sana katika kufanya kazi zao, hivyo hupata fursa nyingi katika sekta binafsi na serikalini. Wanasheria hufundishwa kutoa ushauri wa kisheria kwa wateja wao /wahalifu, hii taaluma huchukua miaka mitano hadi saba inategemea na nchi, lakini mwanasheria anayekidhi vigezo hulipwa Kwa wastani dola za kimarekani 133,260 kwamwaka.
2;RUBANI.
Kuwa rubani kunahitaji mahitaji maalumu kadhaa kama, shahada ya masuala ya anga, masaa mengi ya kujifunza kwa vitendo na huchukua miaka hadi saba katika masomo, Rubani mwenye vigezo vya kutosha hupokea takribani dola za kimarekani 140,260 kwa mwaka.
Kuwa rubani kunahitaji mahitaji maalumu kadhaa kama, shahada ya masuala ya anga, masaa mengi ya kujifunza kwa vitendo na huchukua miaka hadi saba katika masomo, Rubani mwenye vigezo vya kutosha hupokea takribani dola za kimarekani 140,260 kwa mwaka.
3;UPASUAJI (SURGEON ).
Taaluma hii ni ya watu walio bobea katika kazi ya upasuaji wa aina mbalimbali kama njia ya matibabu Kwa magonjwa ,mishahara yao huwa minene, kuna upasuaji wa aina mbalimbali kama wa mifupa, neva,
Daktari bigwa wa upasuaji hupata mshahara wa dola za kimarekani 240,440. kwa mwaka.
Taaluma hii ni ya watu walio bobea katika kazi ya upasuaji wa aina mbalimbali kama njia ya matibabu Kwa magonjwa ,mishahara yao huwa minene, kuna upasuaji wa aina mbalimbali kama wa mifupa, neva,
Daktari bigwa wa upasuaji hupata mshahara wa dola za kimarekani 240,440. kwa mwaka.
4;DAKTARI WA MAGONJWA YA WANAWAKE (GYNEOLOGIST).
Madaktari hawa hutoa matibabu katika sehemu za mfumo wa uzazi, kama vile kujifungua, ujauzito, afya ya uzazi na njia ya mkojo.
Maranyingi Daktari huyu hutumika kama mshauri kwa Madaktari wengine, huweza kufanya pia kazi kliniki,hospitali au mwalimu wa chuo kikuu, hupokea mshahara wa dola za kimarekani 214,750.kwa mwaka
Madaktari hawa hutoa matibabu katika sehemu za mfumo wa uzazi, kama vile kujifungua, ujauzito, afya ya uzazi na njia ya mkojo.
Maranyingi Daktari huyu hutumika kama mshauri kwa Madaktari wengine, huweza kufanya pia kazi kliniki,hospitali au mwalimu wa chuo kikuu, hupokea mshahara wa dola za kimarekani 214,750.kwa mwaka
5;DAKTARI WA MENO /KINYWA (ORTHODONTIST ).
Wataalamu walio somea hii fani huitwa orthodontist.
Wataalamu hawa hupata elimu ya kugundua tatizo, kurekebisha,meno yeyote.
Matibabu hutegemea tatizo lakini matibabu ya jumla hujumuisha kuunga au kuziba meno yaliyotoboka ,kung'olewa na matatizo mengine, taaluma hii hutoa mshahara wa dola za kimarekani 221,000.kwa mwaka.
Wataalamu walio somea hii fani huitwa orthodontist.
Wataalamu hawa hupata elimu ya kugundua tatizo, kurekebisha,meno yeyote.
Matibabu hutegemea tatizo lakini matibabu ya jumla hujumuisha kuunga au kuziba meno yaliyotoboka ,kung'olewa na matatizo mengine, taaluma hii hutoa mshahara wa dola za kimarekani 221,000.kwa mwaka.
Tafadhali chagua vizuri nini cha kusoma
Ahsante sana
Mshirikishe na rafiki yako.
0 maoni: